Responsive image
leakage Info

UZINDUZI WA TENKI

Posted on: 2025/03/25

kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru KItaifa 2024 Ndugu Godfrey Eliakimu Mnzava akifungua tenki la kusambaza maji lita 500,000 eneo la Airport Mangamba, Hafla hiyo ilihudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mh.Mwanahamisi Munkunda, Mbunge wa jimbo la Mtwara Mjini Mh.Mtenga ,Mkurugenzi Mtendaji Mtuwasa Eng.Rejea Samweli Ng'ondya,Watumishi Mtuwasa na wananchi mbalimbali wa Mkoa wa Mtwara.

Laravel